Mfanyabishara huyo amesema atatoa pesa hiyo kwa mtu yeyote atakaye muua au kumkamata hai Gadaffi...! Wakati huo huo wananchi wanaendelea kuji-sevia Bunduki na siraha nyingine mbalimbali nyingi zilizokuwa ndani ya majumba mengi na makubwa ya Gadaffi - LABDA - kwa matumizi yao ya baadaye au kwa ajili ya kumbukumbu!
Itakumbukwa kuwa rais wa Afghanistani pia (Mwalimu Mohammed Omar) naye aliwekewa kiwango cha fedha kadhaa juu ya kichwa chake - ambacho nadhani bado hakijatumika hadi sasa!
Picha hii hapa Chini Gadaffi akikumbatiana na mmoja wapo wa Marais wa Nchi za Kiafrika wakati wa utawala wake...
![]() |
Gadaffi akikumbatiana na Mmoja wa marais wa nchi za kiafrika ambaye yeye, KWA BAHATI NZURI, bado ni rais nchini kwake |
No comments:
Post a Comment