Thursday, September 22, 2011

USHOGA na Wanaharakati wetu Tanzania!

Tamasha la Jinsia TGNP
Hivi karibuni lilifanyika na kukamilika tamasha la Jinsia Tanzania - kwa sababu kadha wa kadhaa - zikiwemo kubana kwa ratiba yangu sikuweza kuhudhuria. Kama kawaida, tamasha liliandaliwa na TGNP kwa kushirikiana na Mashirika mengine, hususan yenye Ajenda ya masuala ya Jinsia au wananchama wa Mtandao wa FemAct.

TGNP ni Shirika linalotambuliwa sana
kwa kuongoza "Harakati za Wanawake"
Ushoga Kupamba Tamasha!
Taarifa ya kwanza kabisa niliyoipokea kutoka kwa mshiriki mmoja wa Tamasha hilo ni kile alichoeleza yeye kwamba Tamasha hilo LILIFUNIKWA NA MASHOGA! Kw amujibu wa maelezo yake mashoga hao walikuwa kama 30 hivi. Maelezo yake yalionesha kwamba mojawapo ya mambo yaliyopigiwa debe sana katika Tamasha hilo ilikuwa ni KUDAI HAKI ZA MASHOGA TANZANIA!


Tumeingiliwa kama Taifa!
Taarifa hizi binafsi hazikunishtua sana kwa maana naijua vizuri TGNP, lakini labda zaidi sana NAWAJUA VIZURI WALE WANAOJIITA WANAHARAKATI WA MASUALA YA "JINSIA"! Kilichonishtua mimi ni kwamba mambo ambayo "wanaharakati" wetu kwa kawaida wamekuwa wakiyasema, kuyatetea na kuyapigia debe katika majukwaa ya kimataifa, SASA WANAYALETA NYUMBANI!


Napinga Waziwazi!
Ukimya wangu katika Masuala mbalimbali yanayofanyiwa propaganda na kupigiwa debe na hawa wanaojiita kuwa ni "Wanaharakati wa Jinsia" sasa umefikia mwisho - BAADA YA WAO KUVUKA MSTARI! 


Binafsi nimekuwa nikipinga sana madai mengi yanayotolewa na hawa "wanaharakati" kwa sababu mengi SIO YA KWELI, MENGI NI YA UCHOCHEZI NA KUJENGA CHUKI BAINA YA WANAWAKE NA WANAUME KATIKA JAMII, MENGI (naamini) YANASUKUMWA NA AJENDA NA FEDHA ZA WAFADHILI - Ambao wengi ni Pro-Mashoga!
Ananilea Nkya ni mmoja wa wanaharakati wa masuala
ya "jinsia" Tanzania. Hapa akiongea na "wanaharakati"
kutoka Zimbabwe wakati wa Tamasha la Jinsia
Katika hatua nyingine, baada ya Shutuma kuanza kuibuka kwa kasi kuelekezwa kwa "wanaharakati" hawa, Mwanaharakati mmoja wao, Bi Ananilea Nkya alijitokeza na kuandika makala kuhusiana na USHOGA ambayo mimi niliisoma kupitia jukwaa la wanabidii.... Title ya Ile makala ilikuwa inatosha kabisa kukuelezea mtazamo wake kuhusu ushoga - ilisomeka: USHOGA  NI TUNDA YA MiFUMO MiBAYA.


Kwa kusoma tu hii title unaweza kuelewa wazi kwamba huyu mwandishi - IWAPO NI MTANZANIA - analenga mojamoja kwa kuepuka kushutumu ushoga na mashoga na badala yake anataka ieleweke kwamba ushoga na mashoga SIO TATIZO bali tatizo ni kile anachodai kuwa ni MFUMO!




Tuchukue Hatua!
Wito wangu kwa jamii yote ya Watanzania: tunapaswa kuamka sasa na kuanza kuwaangalia hawa wanaharakati wa masuala ya kijinsia kwa jicho la karibu na makini sana.


Uamuzi huu wa Watanzania wenzetu kuamua kujiunga na kutumia mashirika yao KUTETETA NA KUPIGIA DEBE USHOGA NA MASHOGA HADHARANI sio wa kupuuzwa wala kufumbiwa macho hata kidogo! Ni lazima tupinge UPUUZI HUU bila kujali unafadhiliwa au kusimamiwa na Nani!


TUSIONEANE AIBU WALA HAYA KATIKA HILI - TUPINGE USHOGA NA USAGAJI HADHARANI NA KWA NGUVU ZOTE.... Tanzania Bila Mashoga na Wasagaji Inawezekana - Tusiufiche UOVU NA USHENZI HUU kwenye kivuli cha Mfumo!!!!


...//msb

No comments:

Post a Comment