Thursday, January 19, 2012

MBUNGE mwingine AFARIKI, Ni Wa Arumeru!


Aliyewahi kuwa naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa sasa wa Arumeru Mashariki, -CCM - Amefariki dunia Usiku wa Kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa. Marehem,u alikuwa anaumwa Kansa ya Kichwa/Ubongo.

Mbunge huyu amekuwa ni wa Pili kufariki ndani ya Wiki moja baada ya Marehemu Regia kufariki wiki iliyopita na kuzikwa Juzi kwao Ifakara, Morogoro.

No comments:

Post a Comment