Tuesday, May 29, 2012

Selasini (CHADEMA): Mazishi ya Mama Yake Kesho!


Naendelea kuwashukuru Makamanda na Ndugu zangu wote mnaoniombea mimi na familia yangu kuweza kuvuka katika kipindi hiki kigumu tunachokipitia kwa majonzi na maumivu makubwa!... AHSANTENI SANA!...

Kesho tutafanya maziko ya Marehemu Mama yangu ambapo itatanguliwa na ibada ya mazishi kwenye Kanisa Katoliki Mkuu kuanzia saa sita mchana na baadaye kuzikwa nyumbani Kata ya Makiidi...

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA.. Jina la Bwana lihimidiwe!..
R.I.P my Mom!.

Joseph Selasini
Mb. Rombo (CHADEMA)

No comments:

Post a Comment